Baruapepe ya maombi (kujiunga na kituo atamizi): maombi@aic.co.tz
Baruapepe: info@aic.co.tz
Tovuti: www.aic.co.tz
Anwani za AIC:
Ofisi zetu ziko Dar es Salaam na Morogoro
Dar es Salaam:
Ofisi za PASS,
Jengo la Patel, Ghorofa ya Tatu, Mtaa wa Maktaba/Kisutu,
Mkabala na Majengo ya ILO na Holiday Inn Hotel (Mt. wa Maktaba),
S.L. P 9490, Dar-es-Salaam, Tanzania.
Simu: +255 22 2110394/5
Morogoro:
Ofisi za PASS,
Barabara ya Kitope, Jengo la National Audit,
Mkabala na Ukumbi wa Umwema JKT, Ghorofa ya 2,
S.L.P. 146, Morogoro, Tanzania.
Simu: +255 23 2613370 /1 /2
au tafadhali wasiliana na ofisi za PASS zilizopo karibu nawe;
Anwani za ofisi za PASS zinapatikana kwenye tovuti: www.pass.or.tz